Saturday, March 14, 2009

Peperuzi magazeti




Posted by Picasa

Dowans yaibua vita tena



Posted by Picasa

Hakimu wa Liyumba ajitoa



Posted by Picasa

Wema Sepetu basi tena, amelogwa:: Mbiki aolewa kwa siri




Posted by Picasa

Friday, March 13, 2009

Aliyempiga kofi Mwinyi ala mvua moja


Je sisi tumejifunza nini kutokana na tukio la Raisi mstaafu kuzabwa kibao?

Majestic005 has made a comment on Mkasa wa Raisi mstaafu Mwinyi kupigwa kibao:

Alivio fanya mtuhumiwa ni makosa kabisa. waliompija na mtuhumiwa lazima wachukuliwa hatua.

informing the public about condoms in a way is an encouragement to prolong zina.
But since we all know that our Tz brothers & sisters cant keep junk in thier pants.

Then the govt has no choice but to inform them abt condoms so they dont get wiped of the population.

Maybe we might get have faith & return to the merciful. :)

You can reply to this comment by visiting the comments page.

salham5 has made a comment on Mkasa wa Raisi mstaafu Mwinyi kupigwa kibao:

Mbona ustadhi yuko sahihi kabisa cause hayo ni mambo ya siasa ingekua vizuri babu mwinyi aachane na siasa kama alivyofanya mkapa kwani hiyo ndiyo imemponza!!!!!!!!!!!!!! ustadhi ujira wako uko mbele ya ALLAH kwani hufanya hivyo mwinyi ni kuhalalisha zinaa kwakti ALLAH amesema umsikurubie zinaa.

You can reply to this comment by visiting the comments page.

CUFVideo has made a comment on Mkasa wa Raisi mstaafu Mwinyi kupigwa kibao:

Yes, ni vibaya kijana alivyofanya kumkosea mtu mzima adabu. Lakini ni vibaya zaidi Mwinyi anavyopotosha mafundisho ya dini yake kuhusu kinga dhidi ya Ukimwi. Na vibaya zaidi ni ushiriki wa Mwinyi katika uchaguzi wa Zanzibar mwaka 2005 ambapo alinukuliwa akisema kwamba hata kama itabidi Wazanzibari mia moja wauliwe ilimradi tu Karume arudi madarakani ni sawa. Yeye alikuwa mtu muhimu kwenye timu ya kampeni ya Karume.

You can reply to this comment by visiting the comments page.

batabukini has made a comment on Mkasa wa Raisi mstaafu Mwinyi kupigwa kibao:

Nadhani hata hao wanaoshabikia hicho kitendo cha aibu nao hawana maana. Mnataka hayo yakaongelewe wapi kama cyo kwa waumini nyie wenyewe ambao ndo watendaji wakuu na waathirika wa ugonjwa huo. Mtake msitake mzee Ruksa aliwafikishia ujumbe lakini kutokana na kutokuwa na akili kwa huyo bwana ndo maana akayatenda hayo. Waumini nyie ndo waathirika wakubwa kubalini kupewa ushauri na msisitizo kuhusu Ukimwi! Utakisha oooohoooooooooo!

You can reply to this comment by visiting the TANGIBOVU page.

fahadfahmy (10 hours ago)
ustaadh una darja kubwa mbele ya allah

mudrick09 has made a comment on Mkasa wa Raisi mstaafu Mwinyi kupigwa kibao:

Ustadh kafanya kosa kuhusu kumpiga kibao Mtu aliyemzidi umri. Ila Mh. Mwinyi kunavitu vengine si vakuongelea sehemu kama hiyo Topic ya Ukimwi tafuta sehemu nyengine. Ustadh wamemuonea tu.

Hao waliompiga pia wanatakiwak ushtakiwa, jengine walikuwa wapi wanaolinda na wasimamiaji hawajui kuweka mtu wa kuweka kupaza sauti? makosa mengi pia wanayo wenyewe yeye pia angewashitaki hao jamaa waliompiga mateke. Ila haki yake ipo kwa muumba Allah huyo Ustadh au Sultan.

You can reply to this comment by visiting the http://www.youtube.com/tangibovu

Agent Unkown has left a new comment on your post "Aliyempiga kofi Mwinyi ala mvua moja":

wewe unaye comment kwamba watu wa usalama kwanini wamempiga jamaa huelewi vizuri. Those guys are there to protect the principle. Tey didnt know what was the intention of the attacker kwa hiyo the first counter measure was to neutrlize the attacker. walimpiga tu pale stejini lakini baada ya kuona kwamba hawezi kuwa na madhara zaidi hawakuendelea kumpiga. wale walikuwa wanampiga baadaye ni watu wengine na watu wa usalam walikuwa wanajaribu kumuokoa.
babtani (50 minutes ago)
yaani usalama wanapiga watu mbele ya camera alafu tunasema tz wanafuata sheria ile sio sheria kabisa watu kuchukua hatua mukononi mwao..dats just bullshit
hemedalamry (11 hours ago)
Mbona kafanya poa tu!!!
Condom inahusu nini na Dini??!
Dini zote bas dats not good to say...
si waambie wajukuu zako kwako tu.. au una advertise??
There is serious security failure. Body guards are trained to trust no one and to suspect everyone. Hawa jamaa wa usalama vipi?
ngube (4 hours ago)
hope angekuwa George Bush angekwepa hilo kofi
santaraper (59 minutes ago) Hahahahaha
meshackm (5 hours ago)
Inatisha,bado sasa tuanze kuwachapa wabunge wanapotoa hoja za kuchoka bungeni
SIKONGE (7 hours ago)
Tanzania bwana. Yaani watu wa usalama wameanza wao kumpiga. Inatakiwa hao nao washitakiwe. Wao kazi yao si kuchukua madaraka mikononi, labda mtu agome. Nchi na watu na viongozi, wote sawasawa.
santaraper (48 minutes ago)
isee ile sio show nzuri kabisa, hawaonyeshi kuwa wanafanya kazi kwakumpiga hadharani namna ile....angalieni jamaa msifate yule alompiga bush kiatu zile ni nchi za wenzetu kuna sheria....!
josh17tz (9 hours ago)
Ebwana eeeeeee,Niliichelewa hii ITV kumanga manga

Comment on this habari



Aliyempiga Mwinyi akiri kosa kortini


Posted by Picasa

Mtoto akililia wembe mpe


Sogea kidogo nami nipate picha yake ......
Mleteni huku tumfundishe heshima
Najuta kumdhaba kibao babu yetu Mwinyi

Du! Sikutegemea kama yengekuwa hivi mhnnn majuto ni mjukuu
Posted by Picasa

Dowans yaweka rehani mitambo na transifoma



Posted by Picasa

Lwakatare kwisha ! Apigwa dabali




Posted by Picasa

Dowans: Tanesco ilikuwa iuziwe mbuzi kwenye gunia




Posted by Picasa

HATIMAYE MACHANGUDOA WA KICHINA WANASWA!




Posted by Picasa

Thursday, March 12, 2009

Unataka Changudoa wa Kichina? Piga na hii-




Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu