Saturday, February 23, 2008

Kuna shida gani katika magari yanayobeba makontena?

Fiat iliamua kuwacha njia na kufuata mfereji wa maji si hatari jamani .......

Yamakuwa yakianguka mara nyingi na makontena yenye mizigo, jeshi la polisi usalama

barabarani watupie jicho upande huo

Eneo la tukio ni Buguruni after taa za uhuru na mandela
Posted by Picasa

ODM fumes over Passaris









Naibu Waziri wa Miundombinu, Dk Makongoro Mahanga (katikati) Mkurugenzi wa Ufundi na Umeme wa Wizara hiyo, Mhandisi John Ndunguru (kulia) na Mbunge wa Kigamboni, Abdulrahman Mwinchumu, wakitembelea uunganishaji wa kivuko kitakachokuwa kikitoa huduma zake jijini Dar es Salaam. Kivuko hicho chenye urefu wa Mita 76, kina uwezo wa kuchukua magari madogo 60 na abiria 2000.




FROM LEFT: Mr Musalia Mudavadi, Mr Moses Wetangula, Prof Sam Ongeri, former UN Secretary General Dr Kofi Annan and Dr Sally Kosgei, at the Serena Hotel, on Friday. They were waiting for Mr James Orengo, Mr William Ruto, Mr Mutula Kilonzo and Ms Martha Karua. Negotiators and Annan’s mediation team of Eminent Persons emerged from an afternoon-long session on Friday night without uttering a word, but the body language implied troubled sailing in the seas of compromise. Picture: George Mulala





Posted by Picasa




Posted by Picasa




Posted by Picasa

Friday, February 22, 2008

Its Yes to PM post



Deal in the making
The Office of the Prime minister is to be assigned a supervisory role in addition to co-ordinating affairs of the envisaged coalition Government. full story



Posted by Picasa

Waliochota mamilioni Hazina wayarejesha

Rais jakaya Kikwete akizungumza jambo na Makamu wa Rais wa Kenya, Kalonzo Musyoka mara baada ya kuonana na Rais Ikulu Dar es Salaam jana kuleta ujumbe kutoka kwa Raios Mwai Kibaki wa Kenya.

Baadhi ya wakazi wa wilaya ya Mkuranga wakipokea kondumu kwa ajili ya kujikinga na ukimwi katika kampeni inayoendeshwa na DAWASA pamoja na PSI mkoa wa Pwani unaopakana n mkoa wa Dar es Salaam jana.
Makao Makuu Jeshi Tanzania yakatiwa maji, yadaiwa Sh276milioni
Mfumuko wa bei, maisha yazidi kuwa magumu kwa Watanzania
Msanii mkuu wa CCM avamia mkutano wapinzani, polisi wamshusha jukwaani
Benki Kuu Tanzania mbioni kuichunguza kampuni ya Richmond
Hofu ya machafuko mapya yaelekea kuikumba tena Kenya
Wakazi wa Dar kuanza kushuhudia barabara za magari kupita juu
Serikali yajitosa kuikoa kampuni ya simu iwe ya kisasa
Wazee wadai CCM Mbeya inakumbatia matajiri


Posted by Picasa

FFU wamshusha Kapteni Komba Kiteto




Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu