Friday, October 26, 2007

Vilio na simanzi vyatawala Dar Jamani!! "Buriani Salome mbatia" kuzikwa Kilimanjaro [Moshi] kesho











Jamani....Pole kijana yote haya ndio maisha.... Raisi Jakaya kikwete akimpa mkono wa pole mtoto wa salome mbatia
ilikuwa maendelezo ya Simanzi kwa wengi na familia ya mbatia pale mwili wa Salome ulipowasili Dar toka Iringa
















Thursday, October 25, 2007

Maimatha na Benny Kinyaia Toka channel five

Watangazaji wa kituo cha eatv kushoto kwako ni Maimatha akiwa na Benn kinyaia

Wakiwa ktika picha zilizofanyiwa small editing Wanapendeza jamani

Kama lipo la kusema sema mdau

Mamilioni ya Manji yashindwa kufuta uteja












Wednesday, October 24, 2007

"Jamani Magari haya" Leo Mhe. Salome J Mbatia amefariki Dunia katika ajali ya gari iliyotokea Kibena mjini Njombe


Picha za ajali kwa hisani ya Mzee wa sumo. kwa habari zaidi ingia http://mpoki.blogspot.com/







Ajali ilitokea wakati akitoka Iringa kwenda Njombe Gari lake limegongana uso kwa uso na fuso lililokuwa limebeba mbao. Gari la Mhe.Mbatia limebondeka vibaya sana. kwenye gari la Mhe mbatia. Ilibidi wakate mabati katika gari ili kutoa watu waliokuwamo kwenye gari hilo

























Tuesday, October 23, 2007

Pongezi kwa Chissano kuwa kiongozi bora na si bora kiongozi













Ze comedy wa bongo






  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu