Saturday, August 4, 2007

PAPARAZI ISSA MICHUZI




HUYU NDIYE PAPARAZI WA BONGO AKIWA UGANDA INASEMEKANA AMEKWENDA KWA WAKWE MMMMMMMM
JAMAA ANAMOYO KWELI WAREMBO WOTE HAPA BONGO MMMM MPAKA KWENDA UGANDA MMMMMM MIMI
SIMO SEMA WEWE MSOMAJI
Posted by Picasa

HAWA NDIO ZE COMEDIAN TZ


HAWA JAMAA WANAPENDWA ZAIDI HAPA BONGO KWA VICHEKESHO VYAO LAKINI MMMMMM MIMI SIMO IPO SIKU
NITUKUBONYEZA NINI HIYO SIRI WEWE POZI KWENY BLOG HIII
Posted by Picasa

Dumia Isiyo na Njaa

Maono yetu ni ulimwengu ambao hauna njaa na ukosefu wa lisha bora- ulimwengu ambamo kila mtu anaweza kuhakikishiwa kuwa atapata chakula anachohitaji ili awe na lishe bora na mwenye afya. Maono yetu ni ya ulimwengu ambao mbali na kumpa kila mtu maslahi na heshima yake kama mja, utavilinda vitu hivi. Huu ni ulimwengu ambapo watoto watakua, wajifunze na kunawiri, huku wakiishia kuwa watu katika jamii walio na afya nzuri, wenye kuitumikia na kuijali.
Ijapokuwa mafanikio katika kupunguza matatizo ya njaa ya lishe bora yameonekana ulimwenguni kote, bado tungali nyuma katika kufanikiwa kuwa na ulimwengu ambao watu wake hawana njaa. Tunaona elimu na taarifa za masuala yaliyofungamana na njaa ulimwenguni, usalama wa chakula na lishe bora kama masuala muhimu katika kufanya maono haya ya kilimwengu yafaulu. Kwa hali hii, tunazielekeza juhudi zetu kwa vijana na walimu wao. Je, endapo kila mwaka, kwenye siku kuu ya Chakula Ulimwengu (tarehe 16, Oktoba) watoto ulimwenguni kote watafahamishwa kwa pamoja vifaa vinavyofanana vya kufunzia kuhusu njaa na utapiamlo pamoja na yale yatakikanayo kufanywa, wataweza kukua wakitambua jinsi ulimwengu wetu unavyotegemea mambo mengine? Je, endapo watafundishwa masomo kutoka sehemu tofauti tofauti za ulimwengu,kutoka tamaduni na hali mbalimbali wakakuwa tayari kufanya kazi pamoja ili kutatua matatizo ya njaa na usalama wa chakula? Je, kunazo njia ambazo kwazo kizazi cha vijana chaweza kukuzwa ili wawe wananchi wanaotegemewa na walio wa kilimwengu?
Tunaamini kwamba majibu kwa maswali haya yote ni “NDIYO” kama walimu mpo katika hali nzuri ya kuweza kuwafanya vijana wawe ni watu wanaojali na wanaojitolea kijiunga katika vita dhidi ya njaa. Ubunifu, mawazo fikira, pamoja na maguvu ya vijana huwakilisha rasilmali muhimu ya kuendelea kukuza jumuiya na mataifa yao. Nyinyi, walimu wao, mwaweza kusaidia katika kuleta mageuzi kupitia kwa ujulishaji, kubadilishana maarifa, kuhimiza ushiriki, na kuwaonyesha vijana kuwa wanalo jukumu muhimu katika kufaulisha kuwepo kwa ulimwengu usio na njaa.
Tungependa kuwapa moyo kujiunga na walimu pamoja na wanafunzi ulimwenguni kote ili kujihusisha katika shughuli za Kulisha Akili, Kupambana na Njaa.

Njaa na Ukosefu wa Lishe Bora Duniani
Journée mondiale de l'alimentation
Washiriki katika du Projet Kulisha Akili, Kupambana na Njaa
Shukrani
Kudhamini
Wasiliana nasi
Pata faili la mtindo wa PDF

Blogger Beta non-spam review and verification request: http://kennedytz.blogspot.com/




Blogger Help
to me
show details
Aug 3 (2 days ago)
Hello,Your blog has been reviewed, verified, and cleared for regular use so thatit will no longer appear as potential spam. If you sign out of Blogger andsign back in again, you should be able to post as normal. Thanks for yourpatience, and we apologize for any inconvenience this has caused.Sincerely,The Blogger Team


Thanks Blogger Team for every thing Let God bles all Blogger team

DR AM JEI AKIWA KATIKA FANI


HUYU NDIYE AMJEI NI HODARI KATKA KIKUNDI CHOA ANAJUA NINI ANACHOFANYA
Posted by Picasa

Thursday, August 2, 2007

Posted by Picasa

Monday, July 30, 2007

EBWANAWEWEEE JAMAA WANAJITAIDI


SEMA HAWA JAMAA WAKO FRESH KWA SASA MMMMM
Posted by Picasa

Sunday, July 29, 2007

JENGO LITAKOLIPIKU KITEGA UCHUMI LIPO KARIBU NA POSTA MPYA







SIJUI KAMA WAMEJIZATITI NA MOTO WAKAULIZE KITEGA UCHUMI

KILA BAADA YA MIEZI KADHAA MOTO JE WAO JE?




RAY C



RAY C RAY C RAY C KATIKA POZI YA NGUVU
RAY C RAY C RAY C RAY C

SALAMA AKIWA STUDIO ZA CHANNEL FIVE [5]



Mwanadada Salama akiwa kwenye Kipindi chake cha Planet Bongo Mwana dada huyu ni machaahari katika
kutoa kasoro nyimbo za kizazi kipya, hiyo stairi ya kuwapa changamoto wanamuziki katika kuwa makini
kwenye kurekodi. Wewe msomji unasemaje kuhusu Salama na Speed yake hiyooo.... mmmmm naishia hapo
Posted by Picasa

MWILI UNAPOCHOKA

Mtu anapochoka inabidi apumzike kidogo Jamaa inaonekana Baada ya kazi ngumu ameamua kuuchapa
Posted by Picasa

keep enjoy


Posted by Picasa

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.comme google-site-verification=Qm-XNfnL5kai8WV2inT1RRX2WIPaBTG_WPq3kYSBwbgKennedy Kimaro 2008 NYUMBANI NI NYUMBANI TU KUMBUKA KUWEKEZA NYUMBANI LEO

Rudi TOP-Juu